Ili
kumaliza utata wa je, Diamond ni Freemason au la, Ijumaa Wikienda
lilibeba jukumu la kumtafuta ili aanike ukweli wake ambapo alikuwa na
haya ya kusema:
“Unajua mwanzoni nilikuwa sikumbuki ni lini na wapi
nilipiga picha ya dizaini hiyo. ‘Anyway’, isiwe kesi, nakumbuka ilikuwa
Uingereza kipindi kile nilikuwa na shoo nchini humo.
“Nakumbuka walinifuata watasha wengi
tofauti lakini huyo mmoja alining’ang’ania sana nipige naye picha.
“Kwa kweli alinilazimisha sana kwa sababu mwanzo nilikataa lakini baadaye nikaona isiwe ishu nikampa ushirikiano alioutaka.
“Mimi sikuona matatizo alivyotaka tusalimiane kwa kugusisha vidole kwa
sababu nilikuwa sijui chochote kuhusu Freemason. Nimeijua baada ya
mambo haya kuyasikia kwa sana hivi karibuni.
“Kwa hiyo inawezekana siku hiyo waliniunganisha bila mimi kujua (kicheko).” Habari kutoka Ijumaa Wikenda.
HUYU NDO MTOTO MCHANGA WA SIKU 4 ALIYEKAA NDANI YA SHIMO SIKU 6 AKIWA HAI
-
Ndugu yangu ukishangaa ya Mussa basi shangaa na ya Filauni, Methali hiii
methibitika Songea baada ya Mtoto Bahati Upendo mwenye siku 3 toka azaliwe
alipo ...
6 minutes ago

